Madam rita paulsen at ayo tv habari

          Bongo Star Search Winner · Rockstar.

          · Go to channel · Nilikutana Na Mzee Mengi Gym, Sikuwa Najua Yeye Ni Nani" | SALAMA NA MADAM RITA PART 2..

          Rita Paulsen

          Rita Paulsen

          Madam Rita mnamo 2024
          Amezaliwa
          Karagwe, Kagera,

           Tanzania

          Kazi yake Mkurugenzi wa Bongo Star Search(BSS)


          Rita Paulsen (anafahamika pia kama Madam Rita; alizaliwa wilaya ya Karagwe, Mkoa wa Kagera, 26 Februari1977[1]) ni mjasiriamali, mhisani na mwanzilishi na mmiliki wa shirika linaloitwa Benchmark Productions.

          Kwa sasa anaendesha kipindi chake katika televisheni kiitwacho Rita Paulsen Show.

          Pia ni kati ya watu wa kwanza kuanzisha kampuni ya urembo na kuuchukulia urembo kama biashara[2].

          Dr Rita Linkner · Madam Rita Cafe Kizilay · Rita.

        1. Dr Rita Linkner · Madam Rita Cafe Kizilay · Rita.
        2. Actress||Musician ||Mc & Consultant MD @hrdradiatorcompany ||Award winner ccawardsafrica as The Most promising Business Leader Tanzania.
        3. · Go to channel · Nilikutana Na Mzee Mengi Gym, Sikuwa Najua Yeye Ni Nani" | SALAMA NA MADAM RITA PART 2.
        4. TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania.
        5. PROVERB GODs LASTBORN Actress|Comedian Award winning Actress Signed under @lamata_villageentertainment.
        6. Mnamo mwaka 2007 alianzisha shindano la uimbaji lijulikanalo kama Bongo Star Search (BSS), mradi ambao umejikita katika kuibua vipaji vya uimbaji kwa vijana mbalimbali nchini Tanzania. Kwa kufundisha taaluma za uimbaji kupitia hilo shindano la uimbaji.

          Mradi huu umewaibua wasanii wengi.Dhamira ni kuinua tasnia ya mziki ili kuwezesha kuinua vipaji vya vijana kupitia mziki.[3][4]&